![]() View Full-Size Image |
Kurunzi ya Kiswahili (KCSE Kitabu cha Marudio) |
|
| ( Focus Publishers ) |
||
|
ksh 560.00
|
|
|
Waandishi: Sanja Leonard Leo, Kusino M. Tonny ISBN: 9966-01-048-3 Kitabu cha Marudio kimeandikwa kwa madhumuni ya kuondolea mbali hali ya taharuki miongoni mwa wanafunzi na walimu kuhusu matarajio ya silabasi mpya. Yaliyopewa kipaumbele ni mahitaji ya mwanafunzi katika kuukabili mtihani wa sampuli yoyote ile.
Bwana Sanja Leonard Leo ana shahada ya digrii kutoka Chuo Kikuu cha Moi. Amefunza kwingi zikiwemo shule za Kitengela Girls na ile ya Kitaifa ya Limuru Girls. Aidha ameshiriki katika kipindi cha KBC 'Lugha Yetu' kwa miaka mingi. Bwana Kusino M. Tonny ana digrii ya ualimu kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi. Amefunza kwingi zikiwemo shule maarufu za Bulimbo Girls na Makunda Muslim. Ameshiriki katika warsha tumbitumbi za kutathmini miswada ya vitabu mbalimbali vya silabasi mpya. Warsha hizi zimemweka katika nafasi aula ya kuelewa jinsi mtihani wa silabasi mpya utakavyotahiniwa.
|
||
|
|
||
Customer Reviews:There are yet no reviews for this product.Please log in to write a review. |
||
| |
||
| |
||
List All Products |
|
|
Advanced Search |
|
| Lost Password? | |
| Forgot your username? | |
| No account yet? Register | |
|
|
|
| Download Area |