Kurunzi ya Kiswahili: K.C.S.E Kitabu cha Marudio

KSh600.00

Sanja Leonard Leo, Mohammed Kusino

Kurunzi ya Kiswahili: K.C.S.E Kitabu cha Marudio kimeandikwa kwa madhumuni ya kuondolea  mbali hali ya taharuki miongoni mwa wanafunzi na walimu kuhusu matarajio ya silabasi mpya.  Yaliyopewa kipaumbele ni mahitaji ya mwanafunzi katika kuukabili mtihani wa sampuli yoyote ile.

100 in stock

Description

Waandishi wamepembua kwa mapana na marefu vipengele vyote vya silabasi mpya kwa njia sahili, fupi na rahisi kufuatia. Aidha, wametoa mifano ya karatasi za maswali zinazotoa  taswira kamili ya mtihani wa K.C.S.E. Yote hayo yamefanywa kwa mtindo mufti ambao bila tashwishi utasadifu wanafunzi wa viwango vyote: wepesi darasani na wanaojifunza asteaste.

Baadhi ya vipengele muhimu vilivyoshughulikiwa kwa kina ni:

Uandishi wa insha

Ufahamu na ufupisho

Isimu-jamii

Matumizi ya lugha (sarufi)

Uchanganuzi wa sentensi

Fasihi simulizi na andishi

Uchambuzi wa vitabu teule (riwaya, tamthilia na hadithi fupi) pamoja na mashairi

Namna ya kujibu maswali ya sampuli zote.

Majaribio ya mitihani yenye sura tarajiwa ya K.C.S.E. silabasi mpya.

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Kurunzi ya Kiswahili: K.C.S.E Kitabu cha Marudio”

You may also like…